Konrado wa Piacenza
From Wikipedia, the free encyclopedia
Konrad wa Piacenza (jina lake kwa Kiitalia lilikuwa Corrado Confalonieri), ambaye alizaliwa Piacenza, Emilia-Romagna, Italia, 1290 hivi, akafariki Noto, Siracusa, Sicilia, Italia visiwani tarehe 19 Februari 1351, alikuwa mkaapweke wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko anayeheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu tangu mwaka 1625.