Kiukraini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiukraini (kwa Kiukraini: українська (мова), ukrajins'ka mova) ni lugha ya Kislavoni cha Mashariki, mojawapo katika familia ya Lugha za Kihindi-Kiulaya.
Maelezo zaidi Lugha rasmi:, Uainishaji wa kiisimu: ...
Kiukraini | |||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Kinazungumzwa nchini: | Ukraini, Urusi, Kazakhstan, Moldova, Marekani, Kanada, Belarusi, Ureno, Slovakia, Argentina, Kirgizstan, Latvia, Romania, Ulaya ya Magharibi, Croatia, Brazil | ||||||||||||||||
Waongeaji: | Milioni 39 | ||||||||||||||||
Daraja: | 25 | ||||||||||||||||
Lugha rasmi: | |||||||||||||||||
Nchi: | Ukraini | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kiisimu: | |||||||||||||||||
|
Funga
Kiukraini ni lugha ya pili inayozungumzwa zaidi katika orodha ya lugha za Kislavoni. Kuna waongeaji milioni 37 wanaoongea lugha hii nchini Ukraini, ambapo ni lugha rasmi. Wengi wa wenyeji wake lugha hii ni lugha mama. Kwa hesabu ya dunia nzima, kuna waongeaji wapatao milioni 47 wanaoongea lugha hii.