Kisiwa cha Wake
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kisiwa cha Wake ni atoli (aina ya kisiwa) katika Bahari ya Pasifiki, karibu na funguvisiwa la Hawaii. Inasimamiwa na Jeshi la Marekani. Ni eneo la ng'ambo la Marekani, ikihesabiwa kati ya Visiwa Vidogo vya Nje vya Marekani.
Kuanzia Desemba 1941 hadi Agosti 1945 atoli hiyo ilivamiwa na Milki ya Japani.