Kiev
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiev (pia:Kyiv - Kiukraine: Київ) ni mji mkuu wa Ukraine na pia mji mkubwa wa nchi hii wenye wakazi milioni mbili. Iko kando la mto Dnepr kwa 50°27′00″N, 30°31′24″E.
Kiev (pia:Kyiv - Kiukraine: Київ) ni mji mkuu wa Ukraine na pia mji mkubwa wa nchi hii wenye wakazi milioni mbili. Iko kando la mto Dnepr kwa 50°27′00″N, 30°31′24″E.