Karne ya 2
karne / From Wikipedia, the free encyclopedia
Karne ya 2 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 101 na 200. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 101 na kuishia 31 Desemba 200. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 1 KK |
Karne ya 1 |
Karne ya 2
| Karne ya 3
| Karne ya 4
| ►
Miaka ya 100 |
Miaka ya 110 |
Miaka ya 120 |
Miaka ya 130 |
Miaka ya 140 |
Miaka ya 150 |
Miaka ya 160 |
Miaka ya 170 |
Miaka ya 180 |
Miaka ya 190
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya binadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii.