Karne ya 13
karne / From Wikipedia, the free encyclopedia
Karne ya 13 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 1201 na 1300. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 1201 na kuishia 31 Desemba 1300. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 11 |
Karne ya 12 |
Karne ya 13
| Karne ya 14
| Karne ya 15
| ►
Miaka ya 1200 |
Miaka ya 1210 |
Miaka ya 1220 |
Miaka ya 1230 |
Miaka ya 1240 |
Miaka ya 1250 |
Miaka ya 1260 |
Miaka ya 1270 |
Miaka ya 1280 |
Miaka ya 1290
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama haya yafuatayo.