Karne ya 9
karne / From Wikipedia, the free encyclopedia
Karne ya 9 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 801 na 900. Kikamilifu kilianza tarehe 1 Januari 801 na kuishia 31 Desemba 900. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 7 |
Karne ya 8 |
Karne ya 9
| Karne ya 10
| Karne ya 11
| ►
Miaka ya 800 |
Miaka ya 810 |
Miaka ya 820 |
Miaka ya 830 |
Miaka ya 840 |
Miaka ya 850 |
Miaka ya 860 |
Miaka ya 870 |
Miaka ya 880 |
Miaka ya 890
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu: katika hali halisi maendeleo na mabadiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii, kama haya yafuatayo.