Jangwa la Kalahari
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kalahari ni eneo kubwa lenye tabianchi yabisi na nusu yabisi kusini mwa Afrika lenye kilomita za mraba 900,000 hivi katika Botswana na sehemu za Namibia na Afrika Kusini.
Ni tofauti na jangwa la Namib lililopo nyuma ya pwani ya Atlantiki ya Namibia na Angola.