ISO 8601
From Wikipedia, the free encyclopedia
ISO 8601 ni mfumo wa kimataifa uliokubaliwa kwa maelewano juu ya namna ya kutaja tarehe na wakati.
Kimetolewa na Shirika la Kimataifa la Usanifishaji (kwa Kiingereza "International Organization for Standardization (ISO)").
ISO 8601 ni orodha ya mapendekezo namna ya kuandika tarehe na wakati katika mawasiliano ya kimataifa. Jina la kiingereza ni "Data elements and interchange formats -- Information interchange -- Representation of dates and times"