Ganimedi (mwezi)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ganimedi (ing. Ganymede) ni mwezi mkubwa zaidi wa Mshtarii (Jupiter) ambayo ni sayari ya tano kutoka kwa Jua na sayari kubwa katika mfumo wa Jua. Ni pia mwezi mkubwa katika mfumo wa Jua.
Ganimedi (ing. Ganymede) ni mwezi mkubwa zaidi wa Mshtarii (Jupiter) ambayo ni sayari ya tano kutoka kwa Jua na sayari kubwa katika mfumo wa Jua. Ni pia mwezi mkubwa katika mfumo wa Jua.