Forlì
From Wikipedia, the free encyclopedia
Forlì ni mji wa Italia katika mkoa la Emilia-Romagna. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 120,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 34 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Forlì | |
Majiranukta: 44°14′00″N 12°03′00″E | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Emilia-Romagna |
Wilaya | Forlì-Cesena |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 116,864 |
Tovuti: www.comune.forli.fc.it |
Funga