Egidi wa Asizi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Egidi wa Asizi (1190 hivi - 1262), alikuwa wa tatu kati ya wenzi wa kwanza wa Fransisko wa Asizi, mwanzilishi wa Ndugu Wadogo.
Egidi wa Asizi (1190 hivi - 1262), alikuwa wa tatu kati ya wenzi wa kwanza wa Fransisko wa Asizi, mwanzilishi wa Ndugu Wadogo.