Den Haag
From Wikipedia, the free encyclopedia
Den Haag (Kiholanzi pia: 's-Gravenhage) mji mkubwa wa tatu wa Uholanzi baada ya Amsterdam na Rotterdam. Kuna wakazi 472,087 (1 Januari 2005) kwenye eneo la 100 km². Iko upande wa magharibi ya nchi katika jimbo la Uholanzi ya Kusini pia ni ,akao makuu ya jimbo hilo.