Dagobert II
From Wikipedia, the free encyclopedia
Dagobert II (650 hivi - 23 Desemba 679) alikuwa mfalme wa Austrasia (676–679).
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Desemba, siku alipouawa.
Dagobert II (650 hivi - 23 Desemba 679) alikuwa mfalme wa Austrasia (676–679).
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Desemba, siku alipouawa.